Could you tell us about your participation in a Femina activity? Please describe what you did. After you participated in the activity, what then happened? Did anything else change? Was it all positive? Did anything else happen that was unexpected? Did this have an effect on anyone else?

  • Change mabiliko to mabadiliko
  • Ndiyo, Nilishiriki kwa kufanya facilitation katika kuwezesha washiriki hasa walimu, wanafunzi na baadhi za viongozi kutoka kwa LGAs. Pia niliwezesha mafunzo ya namna ambavyo walimu wanaweza kujaza reports zao kuhusu klabu zao mtandaoni. Ilikua ni training nzuri na wengi waliipenda na wakatamani ifanyike kila baada ya muda mfupi mfano kila robo mwaka na ishirikishe walimu wengi. Kwakiasi fulani walimu wamejitahidi kutuma ripoti kwa ufasaha ila bado mabadiliko makubwa yanahitajika kwani wanaoshiriki mafunzo ni idadi ndogo sana ukilinganisha na idadi ya ripoti wanazotuma.
  • Yes! as coordinator of four region Central Zone, i manage schools that have club by insuring that the Fema Magazine arrived in time and this one is througth our chanell of communication,and mentors they leading and directing students on how to use magazine based in activities they done for example gadern for economic purpose, issues realated to health care services and other duties related to our agenda. Apart from that we have system of reporting about our annual activivies that club archive througth out the Year, so here as coodinator i must make effort to insist montors to send report, and other activities in relation to our agenda.
  • Baaada ya kushiriki katika shughuli za Femina kunamabadiko mengi mengi sana yametokea katika maisha yangu. 1. Niweza kujitambua mimi kama mimi na kufahamu nini napaswa kufanya na kipi sipaswi kufanya na kwa wakati gani napaswa kufanya na upi sipaswi kufanya. 2. Kujiamini, kwa sasa ninajiamini popote napoenda na naweza kusimama sehemu yeyote na kuzunguza pasipo kuwa na aibu. 3. Nimeweza kuwa kiongozi kwa kujisimamia mwenyewe ,familia yangu mpaka jamii inayonizunguka.
  • Nafurahi sana kuwa ktk team ya Femina hip, Ushiriki wangu upo katika maandalizi ya mahitaji yote ya yanatakiwa kwa wafanyakazi ofisini na watakaosafiri kwenda kutoa elimu mikoani kwa walimu na wanafunzi wa fema clubs nchi nzima. ikiwa ni pamoja na kuandaa vitendea kazi vyote,kama stationaries,vocha za mawasiliano,kuandika cheki,kuandaa malipo yote ya staff nk. nafasi yangu kama admini na mhasibu imepelekea shughuli nyingi ndani na nje ya office kufanikisha shirika kutimiza malengo yake. Mwaka 2020 dunia ilipatwa na janga la korona hilo lilisababisha baadhi ya kazi za shirika kutokwenda kwa kiwango kikubwa ,kama kutokua na safari za kuwatenbelea wanafunzi mashuleni ,na badala yake elimu ilitolewa kwa njia ya mtandao/technologia ambayo sio wanafunzi wengi waliweza kupata taarifa zote walizohitaji sababu ya kutokuwa na vipindi au mikutano ya ana kwa ana kama ada. Kwa kiwango fulani hatukuweza kutimiza lengo lililowekwa na shirika kwa asilimia mia.
  • Mimi ni mwajiriwa na nimeshiriki kwenye kazi za Femina kama msimamizi wa miradi na mafunzo yanatolewa chini ya miradi hiyo. Baada ya kufanya mafunzo ambayo yapo chini ya miradi ambayo huwalenda moja kwa moja watoto wa kike kama kundi la msingi na walimu kama secondary benefieries. Pia kuwashirikisha wadau ambao na wao pia wanafanya miradi tofauti ila kwenye maeneo ambayo tunatekeleza miradi yetu. Kilichotokea ni makundi yote mawili ambao ni walengwa, kwanza kufurahia na kushukuru kuwa sehemu au kupata nafasi ya kunafaika na mafunzo Pili, kutambua vitu ambavyo walikuwa wanafanya bila kujua kama ni kosa na jinsi vinavyoweza kuharibu jamii inayowazunguka haswa kwa walimu Tatu, Kutambua na kujua umuhimu wa kutumia nafasi zao ipasavyo Nne, kwa wasichana jinsi namna wanavyoweza kupanga malengo yao , na kuelewa umuhimu wa wao kuwepo shule ambapo wanapata elimu Tano, Kuanzisha biashara na kuwa wabunifu kwenye vitu wanavyo vifanya bila kusubiria wazazi wao, kujua umuhimu wa kutunza na kuthamini fedha. Kwa walimu nao kuanzisha biashara zingine bila kusubiria ajira tu peke yake Sita, baada ya mafunzo mabinti huanza kubadilika kuanzia usafi na kujituma kwenye masomo yao kwani wanakuwa wameshatambua umuhimu wao wa kupata elimu Saba, watoto wa kike wanakuwa wajasiri wa kuweka kujichanga/kushirikiana na wavulana bila wwao kujiona kama hawawezi na kushirikiana pasipo kuwaona wavulana kama ni threat au kuwa na mahusino nao kimapenzi (marafiki tu) Nane, utoro unapungua kwa kutambua umuhimu wa elimu kwao Sio kila kitu kilikuwa positive, mfano muda wa mafunzo ulikuwa changamoto, haswa pale wanapo kosa muda wakaiwada wakati wa vipindi. Wakifanya nje ya muda wa darasani wanafunzi wanakuwa wanachoka sana. Kinacho saidia ni elimu na namna ya mafunzo yanawavutia Walimu wengine hukataa kupokea mafunzo kutoka kwa walimu waliopata mafunzo kwa kusema wanalimu wao wamelipwa kwanini wao wasikilize bila kulipwa Pia wanafunzi wakishapata mafunzo wanakuwa majasiri na kuweza kujilinda zaidi ya vishawishi, hivyo kwa walimu ambao hawakuwa rafiki kwa wanafunzi huona kama mradi umekuja kuharibu Ambacho hatukutegema kwenye miradi, ni wanafunzi wa jinsia ya kuime kutaka kupata mafunzo hayo wanaopatiwa wanafunzi wa kike. Hivyo basi Femina Hip kwa sasa unaanda modules kwa ajili ya wanafunzi wa kiume ili na wao waweze kupata mafunzo kulingana na uhitaji wao.
  • Ushiriki wangu ni katika kuwapa vijana elimu iliyo sahihi kwa ajili ya kutimiza malengo yao. Vijana walibadilika sana baada ya kupata elimu hiyo na kuwafanya kuwa vijana bora wanaojitambua na wenye kuleta mabadiliko katika jamii. Kitu kingine ni vijana wamezidi kuwa wabunifu na wenye kujitolea zaidi katika shughuli mbalimbali, vilevile wamekuwa wanajituma sana. hakukuwa na athari yoyote katika jambo hilo.
  • nimeanza soma majarida ya fema tangu nipo shule ya Msingi kama sehemu ya kunipa furaha.ila nimeanza kushiriki katika shughuli za fema pindi nipo kidato cha Tano na sita mkoani Iringa katika shule ya Malangali.Nilishiriki kama mjumbe badaye Fema Ikaniletea matokeo chanya mfano kutambua namna gani kuishi katika jamii inayonizunguka yani katika njia chanya. Ukanifany nitambue jinsi ya kuingiza pesa kwa njia Halali. pia ikanifanya niwe mkakamavu na mtu wa kutokata tamaa kutokana na kuwa na Hali ya kawaida kimaisha pia nimenufaika na elimu ya afya ya uzazi pia na kujirinda na maradhi ambayo yataharibu malengo yangu. Fema ikanifanya niwe bora zaidi pale nilipokuwa mmoja wa washindi wa insha msimu wa miaka 20 ya Femina.2019. Mbali zaidi Nimekuwa mmoja wa Familia ya Femina kupitia kuwa volunteer mwaka 2020/2021.Asante FEMINA mzidi kuwapa vijana Madini yenye Thamani kubwa katika maisha ya kila siku.
  • Ahsante Sana! Naitwa Emmanuel Shosha Ntobi. Binafsi naishukuru Sana Femina kwa kunilea na kunijenga. Binafsi nilijiunga na Femina Club mwaka 2008 ktk shule ya sekondari Lamadi wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu,nilipenda kujifunza mengi Sana hasa ushirikiano ktk kazi za. mazingira,Elimu ya kijinsia pamoja na masuala mengine ya kiutawala,Baadae mwaka huohuo nilionekana mm Niko vzr zaidi na baadae tukafanya uchaguzi wa viongozi na mm nikateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Club hiyo,hata hivyo nilifanya kazi kubwa ya kuiendeleza Club hiyo,tulianzisha Mambo mengi mbalimbali shuleni kupata miti,maua na utunzaji wa mazingira,pia tuliibuka washindi wa uelimishaji Rika shule mpaka ikapelekea shule iichague Club yetu kuwa moja ya kilabu Bora shuleni,hata hivyo binafsi nilijifunza mengi Sana hasa ya uongozi,nikawa Bora Sana mnamo mwaka 2009 Shule ya sekondari Lamadi iliniteua kuwa kilanja wa mazingira shuleni pia nilifanya vzr Sana na wakati huo Umoja wa Ushirika wa wanafunzi Tanzania (Ukwata) nao uliniomba kunichagua pia kuwa Mwenyekiti wake,Sababu hasa mm nilifanikiwa Sana ktk uenyekiti wa fema club hivyo nikajikuta naaminiwa Sana! Mnamo mwaka 2010 Club yetu yaani Lamadi Fema Club ilibahatika kupata mwaariko wa Femina Hip Tanzania kushiriki mkutano mkuu wa mwaka huo,hakika shule yetu ilifurahi Sana kwa umahili wetu vzr wa Fema club kwa kuipasha club mpk tukapata mwariko huo. Kwa Mara ya kwanza mm niliweza kupata kufika Dar es salaam mwaka huo 2010,nilifurahi Sana pia nilimshukuru Mungu Sana kwa Kuiona Club yetu mpk tukachaguliwa,Club yetu tulihudhuria watu watatu Madam wetu kwajina nimemsahau maana ni siku nyingi pia mwanafunzi Mwenzangu Dada Catherine Francis,tulifurahi Sana tulijifunza mada mbalimbali kwenye mkutano huo,pia tukafanya tour mbalimbali ndani ya jiji la Dar es salaam. Baadae tulirejea shuleni kuamalizia masomo ya Form four binafsi namshukuru Mungu nilimaliza vyema na baadae nikajiunga na Chuo Cha Uvuvi Nyegezi mwanza nikafanya Cert.na Dip,Nikiwa shuleni kulingana na ukakamavu na umahili wa uongozi nilioupata kutokana na Fema Club,nilichaguliwa Sana kwenye uongozi chuoni kuwa Mwenyekiti Ukwata chuoni,Ukwata wilaya na Ukwata Mkoa wa Mwanza mpk namalizia Chuo,pia Uratibu Umoja wa vyuo wa kidini Mwanza vyuo vikuu na Vya Kati Mkoa wa Mwanza. Kiukweli Fema ilinjenga Sana maana nilifanikiwa kuongoza kote huko vizr Sana kwa maelfu ya wanafunzi Mkoa wa Mwanza. Naishukuru Sana Femina hip Tanzania. Leo hii mm ni mtumishi wa umma pia ni mtaalam wa Elimu ya Uvuvi na ufugaji samaki pia Ni afisa samaki ktk wilaya ya Mkuranga,nasasa na ishi Dar es salaam na kufanya kazi,Historia yangu haiwezi kubadirika bila kuisema Fema. Kupitia msingi wa kwanza kabisa wa Fema club mm ni Mshauri mzuri Sana ktk kazi zangu. Athari kwa Mtu mwingine,mm nimshauri mzuri sana wa jamii kiuchumi na miradi. Napatikana kwa email:emmanuelntobi7@gmail.com +255653979484
  • nlishiriki katika tukio au semina ya youth femina hip na miaka 20 ya fema iliyofanyika mwezi January mwaka 2019 baada ya kushiriki katika tukio hilo nliweza kupata mafunzo mbalimbali ikiwemo ; elimu ya jinsia, kujitegemea, kuchangamkia na kutumia fursa unazozipata. mafunzo hayo nliweza kuyawasilisha kwa wenzangu ambao hawakupata nafasi ya kushiriki semina hio hivo kuwaongezea ujuzi pia. jambo hilo lilikuwa na athari kwa watu wengine hasa wanafunzi wenzangu.
  • Naam, tangu nimekuwa mlezi wa klabu ya Fema shuleni kwangu, Nimeweza kubadilisha fikra za wanafunzi, walimu na wazazi juu ya uwepo wa Femina. Wanafunzi kwa sasa wanapenda kujenga ari ya ushindani katika kila jambo ili kufanikisha kupata zawadi ninazowaahidi ama wanazoahidiwa na shule, Femina n.k Mabadiliko haya yamekuwa na tija kwangu, kwa wanafunzi, na hata jamii, kwani wanachama wetu ndiyo wamekuwa mfano wa kuigwa katika taaluma, na tabia pia. Asante sana Femina
  • Yes indeed through my engagement of femina Hip activities it enabled me to have creativity and spirit of empowering and inspiring youths to accomplish both their talents and dreams
  • 1.Ushiriki wangu katika shughuli za femina nimeshiriki kama mlezi wa klab na mshauri wa vijana kwa kufanya shughuli mbalimbali za matamasha, michezo, kujitolea kufanya kazi mbalimbali za kijamii, kujitolea kuchangia damu na kuelimisha makundi rika. 2.Baada ya kushiriki shughuli hizi binafsi kumenijengea uwezo na uelewa wa kutambua changamoto zinazowakabili vijana, jamii pamoja na watu wenye uhitaji. 3.Mabadiliko ni kuwa na shauku ya kutaka kujifunza zaidi lakini pia kuendelea kujitolea kwa ajili ya kuwasaidia wengine, na mabadiliko yalikuwa mazuri kwani pamoja na kuwasaidia vijana na jamii yalinisaidia na mimi pia. 4.Kwangu sikutarajia kabisa kuwa siku moja ningeweza kufanya kazi na vijana au jamii tena ya kujitolea. 5.Jambo hili halikuwa na athari kwa mtu yeyote labda kama athari hiyo imetokea pasipo mimi kujua/kufahamu.
  • I work at Femina as a finance manager, I am involved in all finance and adminstration issues of Femina. We are basically supporting the programmes which are the ones performing the activities. We plan the finances and logistics of the activities performed by the programmes. Whatever is achieved in terms of ctivities done by programmes is as well an achievement to me and my department as a whole.
  • Nimeweza kushiriki shughuli mbalimbali ndani ya femina kama zifuatazo; -kutoa elimu kwa wanafunzi wenzangu juu ya agenda tatu za femina -kuwatembelea watoto yatima na gereza la watoto ili kuwafariji na kuwapelekea mahitaji madogo madogo. baada ya kushiriki katika shughuli hizo mimba zilipungua shuleni na wanafunzi wajasiliamali waliongezeka matendo ya uarifu yalipungua mtaani.
  • Cheza salama Sema Tenda Ruka juu BAADA YA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA FEMINA YAFUATAYO YALITOKEA 1. Kujitolea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kama vile kufanya usafi katika Hospitali, Zahanati na Sehemu zinazozunguka soko 2. Kusaidia makundi maalumu ya watu wasiojiweza kama vile wazee na watoto yatima 3. kujua njia mbalimbali za kuepukana na makundi hatarishi yanayayochangia Tabia Mbaya na hatarishi 4. kupata elimu sahihi ya afya ya uzazi 5. kupata elimu ya ujasiliamali ili kuweza kujiajiri hapo baadae.
  • nashiriki katika shughuli mbalimbali za femina kama kujadili majalida ya fema pamoja na ulimaji wa mbogamboga.na baada ya kushiriki katika shughuli hizi kama club tumeweza kushinda mashindano yaliyo kwenye jarida kama compete and win pamoja na challenge.pia kupitia ulimaji wa mboga tumeweza kuongeza kipato kwa vijana na vijana kupata ujuzi mpya,wamepata elimu ya utunzaji wa akiba kwa kipato kidogo unachopata.Pia kutoa elimu ya athari ya mimba za utotoni kwa jamii inayotuzunguka.
  • kwanza nimekuwa nikishiriki katika shughuli za fema kama mwana club wa fema kipindi nipo shule na badae nikapata nafasi ya kujitolea kufanya kazi na femina . Kushiriki kwangu katika shughuli za femina kwanza kumeniongezea kujiamini zaidi, Pia nimepata elimu hasa katika kuelewa mambo mengi yanayowahusu vijana kama afya ya uzazi, ujasiriamali na ushiriki wangu katika jamii yangu na taifa kwa ujumla. Binafisi kushiriki kwangu katika shughuli za femina kuniletea mabadiliko mengi chanya ambayo yamenifanya nijiamini zaidi.
  • Nashiriki katika kuandaa na kutekeleza mipango ya shirika,kutathmini matokeo ya kazi za shirika na kukusanya mafunzo yanayoonyesha value on investment,pia mafunzo yanayosaidia kuboresha mipango kazi ya mbeleni.Asilimia kubwa ya mabadiliko yalikuwa mazuri,jambo lilitokea ambalo halikutarajiwa ni kuhusishwa mradi wa binti na ukristo maana mradi huo ulifadhiliwa na wamarekani,Ndiyo jambo hili liliathiri utendaji kazi wa club maeneo yenye waslamu baadhi ya wanafunzi walizuiwa kujiunga na kazi za Club za Fema kwa kudhani vinaeneza ukristo
  • -Kuratibu na kufuatilia kwa ukaribu shughuli za Club za Fema kwa kupiga simu, kutuma SMS kupitia WhatsApp groups na Telerivet kuwakumbusha walimu walezi wa Club za Fema kutuma report kwa wakati.Na kujibu maswali mbalimbali yayoulizwa na vijana kupitia mfumo wetu wa SMS. -Vijana wengi wamebadilika na kuwa na mtazamo chanya katika kutimiza ndoto zao. -Mabadiliko yalikuwa mazuri kutokana na uelewa wa vijana wengi waliouonyesha. -Ndio ubunifu umekuwa mkubwa kwa vijana na uelewa kuhusiana na suala la kujitolea.Hakukuwa na athari yoyote.
  • kimsingi Mimi binafsi FEMA club nikiwa kama kiongozi na mwanachama imenisaidia kunipa funzo na kunibadilisha maisha yangu kwa namna zifuatazo; 1: imenisaidia kujenga na kuimarisha mahusiano mazuri kati ya jinsia ya kike na kiume hasa katika makuzi na maisha kwa ujumla. 2; imenisaidia kujifunza ujasiri , na kujiamini katika kung'amua mambo na kutenda jambo bila kuogopa nani atasema au kuniona vile hivo hali na morali ya kujiamini imepanda sana kupiti mafunzo na semina za FEMA. 3; imenisaidia kujifunza elimu juu ya mambo mbalimbali hasa ya kijamii na afya kwa ujumla kama kutunza mazingia na elimu ya afya kama namna ya kujikinga na kuepukana na magonjwa ya zinaa kama ukimwi n.k kupitia kuuliza maswali na makala za majarida ya FEMA yanayotolewa na kuandaliwa. 4; imenisaidia kujijenga na kujifunza ujasiriamali na namna na kutengeneza na kuchangamkia fursa katika maisha hasa kujiajiri yote katika kujikwamua kiuchumi na kuukacha umaskini. 5; imenisaidia pia kunipa mwanga na njia elekezi za kupamban na kufikia malengo yang toka nikiwa mdogo nasoma mpaka sasa nipo chuo kikuu hivo makal yake na seminar zake zimenijenga na kujifunza mengi. 6; imenifunza pia kuishi na jamii katika upendo, heshima , nidhamu na utii wa hali ya juu kwani daima imekuwa inafundisha maadili mema na tabia njema kwa jamii. 7; imeniandaa na kunifunza mengi kuhusu uongozi na kulinda ndoto zangu za kuwa kiongozi zisipotee ni mengi sana japo hayo ni machache ninayo weza kuyaeleza. ninaitwa MAGIYULA FAIDA nipo dar es salaam nasoma chuo CBE mwaka wa 1 sasa nawapenda FEMA sana na shukrani kwa kubadiri maisha yangu.
  • Nimeshiriki Kama mlezi was club shuleni kwangu,kwa kweli imenisaidia Mimi na wanafunzi sio tu katika kujitambua,kujiamini na afya ya uzazi pia hata kitaaluma pamekuwa na matokeo chanya kwani wanafunzi wameweza kutimiza ndoto zao lakini pia wamependa somo langu kwa kua nimejifunza elimu burudani mbinu ambayo imesaidia katika kufanya wanafunzi waelewe kwa haraka. Kwa upande mwingine Kama mlezi nimehimiza shughuli Kama uchangiaji damu salama Mara kwa Mara Jambo ambalo naamini Kuna wengi wamesaidika maana hakuna kiwanda Cha damu Elimu ya ujasiliamali naimenisaidia Mimi na wanafunzi wangu katika kupambana na maisha ya Kila siku na kuongeza kipato
  • nilipata anafasi ya kushiriki katika shughuli mbalimbali za Femina hasa nikiwa shuleni. na nilipata bahati ya kuwa mwenyekiti wa club ya Femina nikiwa sekondari. shughuli nyingi nifanya ikiwa ni pamoja na kuwasaidia wengine katika kuwapa elimu ya kujitambua na ya kijinsia. kushikirikiana na wengine kuunda bustani mbali mbali za mboga mboga kwaajili ya kuwasaidia wenzetu wenye matatizo ya vidonda cya tumbo. kufuga ng'ombe katika mazingira ya shule ambao walitupatia maziwa na nyama kwa wingi. kuandaa seminars zaidi kwa wanafunzi ili kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu ukatili wa kijinsia na aina nyingine za ukatili. kuanzisha bustani za maua shuleni. katika hayo yote, mambo mengi mazuri yalifanyika na kutupa matokeo chanya, hasa shule yetu ilizalisha viongozi mashuhuli sana katika masuala ya kijamii na wote walitokea katika uwanda wa Femina hip. tulipata kutambulika na watu wengi zaidi shuleni hasa kutokana na misaada ya kijamii tuliyokuwa tunaifanya shuleni. kwaujumla, mambo yote tuliyotamani kuyafanya yalitokea, na matokealo chanya tuliyapata kama club lakini hata kwa mtu mmoja mmoja.
  • Nilishiriki katika semina wezeshi ya walezi wa FEMA Club mashule. kiukweli nilijifunza Mambo mengi ambayo yalinipa mwanga wanamna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali katika kuwalea vijana. 1. suala la kuwaelimisha vijana kuhusu elimu toka 2. kumwenzesha na kumthamini mtoto wa like hasa katika kipengele Cha nguvu ya binti. 3. kuweza kuwaelimisha vijana hasa wa kiume wasiwanyanyapae wasichana pindi anapokuwa kwenye hedhi. 4. kujua hedhi salama. 5. masuala ya ujasiria mali na utunzaji wa mazingira.
  • ndio,km mlezi kazini kwangu. matokeo ni kwamba nimeona imani na kuaminiwa na wanafunzi sana.Pia kuwafanya huru sana kwangu na kueleza matatizo yanayowakabili kimasomo na hata kijamii na kifamilia mengine tumeweza kuyatatua lkn mengine bado hayajapata utatuzi kulingana na kukosekana kwa ufadhili na hali ya uchumi mgumu
  • nimeshiriki Kama mwalimu mlezi, kwakweli kumekua na mabadiliko makubwa sana sana kwa vijana(wanafunzi). wameweza kua na ujasiri hasa wasichana, pia vijana wamekua wabunifu, wanaojitolea, wenye uthubutu, yote haya haya Ni matokeo chanya ya FEMA. Mambo hayo tajwa hapo juu; Yamefanya jamii ya shule na inayozunguka shule, imeipenda na kuilewa FEMA na kuona faida ya FEMA.
  • advising students about sex education and the causes of STDs and how they can protect themselves against that and now most of the students FEMA members now are agents to non student member of FEMA so student now are very aware on that issue
  • I mentor students at school,coaching them guiding them during goal set up ! helping them attain their dreams and goals......Femina hip helps create better ground to young people..... to self and well study ....peer education, self awareness, healthy education, environmental concepts ,raising talents and human potentials...... these all are enhanced by Femina hip during school even after School time!
  • ishiriki wangu katika shughuli za femina ni shughuli za ujitoleaji unaofanywa na vijana unaojikita kwene maswala yanayohusu au kuhamasisha vijana walio mashuleni. kwaupande wangu imeniongezea ujasiri na ufanisi zaidi .ndio kipo kilichobadilika nimekua ni mtu mwenye mtazamo chanya zaidi. ndio yalikua na mabadiliko mazur kitu kingine kilichotokea ni gonjwa la mlipuko( world pandemic) amabayo ilizuia kufanyika kwa activities mbalimbali na ilikua na athari kwa jamii nzima uchumi ulishuka wanafunzi walikosa masomo kwa muda .hivo ilitupasa kufanya shughuli kupitia mitandao ya kijamii .
  • Asante kwa familia ya Femina hip,,Mimi ushiriki wangu ninashiriki kama mwalimu mlezi wa klabu ya FEMA shuleni na kazi yangu kubwa imekua Ni kuwaongoza wanachama katika kazi na mikakati yao ya klabu.(na miradi mikubwa hapa Ni bustani ya mboga na kuisaidia jamii katika shughuli mbalimbali sanasana za kufanya usafi katika ofisi za kiserikali na zahanati)na shughuli nyingine nyingi. Baada ya kushiriki katika shughuli hizi Mimi mlezi wao nimepata maarifa na ujuzi mkubwa kwa upande wa kutunza bustani za mboga mbalimbali ,na hii imepelekea kutumia ujuzi huu kufanya shughuli hizi nyumbani kwangu kwa lengo LA kujipatia kipato na chakula,,,pia kupitia shughuli za kijamii zimepelekea kujulikana hata kwa viongozi mbalimbali wa maeneo yetu. Kikubwa kilichotokea baada ya ushiriki wangu Ni kuaminiwa na wanafunzi ,walimu wenzangu viongozi wangu , wazazi pamoja na jamii inayonizunguka namshukuru Mungu kwa hilo kwa sababu Ni jambo zuri na limenifanya kupewa kazi nyingine nyingi njee ya klabu. Kitu kilichotokea ambacho hakikutarajiwa Ni kupingwa na baadhi ya walimu wenzangu wakidai kuwa shughuli mbalimbali za klabu zinapoteza muda wa wanafunzi kujisomea na kudai kuwa kushiriki pia kwenye shughuli za kijamii tuwe na taadhari kwa sababu ya imani za kishirikina kwamba iliwahi kutokea wanafunzi wameombwa kufanya usafi katika Barabara za mitaa kwa ajili ya ujio wa kiongozi fulani mwanafunzi akakanyaga uchafu njiani na baada ya hapo alipooza miguu mpaka kupelekea kifo chake,,,aisee niliogopa Ila nilimuomba Mungu isitokee.
  • As fema club mentor, i pioneered fema club member in various activities such as music dances, fashion shows, drama acting and fema club garden! Positive impact include mindset change of attitude in youth, entertainment to others and gain club income! Fema club members also gain enterpreneurship experiences as club engage in various self-realization campains and seminars as well as club activities.
  • nimeshiriki kutoa elimu ya kujitegemea na afya hasa madhara ya mimba za utotoni na kuchangia kupunguza idadi ya itoro na.mimba shuleni it
  • niliweza kuunda clubs za wanafunzi katika shule zote nilizofundisha,nilipata marafiki wengi sana
  • Kushiriki katika shughuli za femina kunaleta mabadiliko chanya kwa mtu alye makini na shughuli hizo.. kwanza zinanipa utambuzi binafsi na kunijengea ujasiri na uthubutu wa kufanya Jambo lingine lilote.. kwa mfano kwa wanafunzi hupata ujasiri wa kujifunza na kuuliza maswali,Kushiriki midahalo hivyo kufaulu mitiani yake.. lakini pia kutambua watu wenye nahitaji maalumu katika mitaa na kuwasidia hivyo kuifanya jamii kuwa ya kimaendeleo. pia hunisaidia kuwashauri na kuwasidia watoto wa kike wenye changamoto za unyanyasikaji kijinsia na kuzitatua.
  • A.Ushiriki wangu katika shughuli za FEMA ni kuelimisha vijana juu ya kujitambua, kusoma kwa bidii, kujithamini, kuchangamkia fursa, ubunifu pamoja Na kuwaelekeza namna ya kujutegemea kati future yao. B. Baada ya kushiriki katika kutoa elimu rika kilichotokea ni kama ifuatavyo; 1. Vijana kujitambua Na kuchangamkia fursa mbalimbali kama vile uandishi Wa nsha ambapo kijana mmoja aliibuka mshindi Wa nsha za haki za watoto mwaka 2019 Na kuzawadiwa tuzo, medali ya shule pamoja Na zawadi zingine kibao. 2. vijana kutambua haki zao. 3. vijana kujidhamini Na kuepuka kujiingiza katika masuala ya ngono mashuleni hii ilipinguza mimba kwa wanafunzi. C. Kitu kilichobadilika ni Vijana kuhamasika Na kuleta mabadiliko katika mazingira ya shule pamoja kwa kuyapamba kibunifu , vijana kusoma kwa bidii na kusababisha kuongezeka kwa ufaulu. D.Kitu kingine kilichobadilika ni nidhamu Na mambo ya kitaaluma kuwa mazuri. E.Mabadiliko yalikuwa mazuri kutokana Na vijana kujitambua, kujithamina Na kujituma katika shughuli za shule pamoja Na kusoma kwa bidii. F.Kitu kilichotokea Na hakikutarajiwa ni Ushindi mnono Wa mwanafuzi Wa kike kutoka kidato cha pili, Hollo C Marko baada ya kuwa mshindi Wa kwanza kitaifa katika nsha Na kualikwa kwenda Dar kushiriki maadhimisho ya haki za watoto. kwa ujumla ushindi huu ulitiwa chumvi Na chalenji ya femina hip juu ya haki za watoto. G. Jambo hilo lilikuwa Na athari chanya kwa shule Na wanafunzi wengine kwani baada ya kurudi kutoka katika maadhimisho shule nzima ilimpokea Na kumpa nafasi ya kusema mawili juu ya udhubutu wake, Binti alinishukuru Na kuishukuru shule, mkuu Wa shule Na walimu wote kwa mchango wao katika malezi. Pia kupitia ushindi huo walimu waliungana nami katika kuhamasisha vijana Na kuwaelekeza namba ya kujitambua Na kuchangamkia fursa ambazo zipo mbele yao, Na hii imewafanya wanafunzi wengi kuwa active kwa jambo lolote wanaloelekezwa ama wanalohitaji kulifanya. *NB* Kupitia shughuli hizi Naishukuru sana femina hip kwani imenifanya kusaidia jamii ya wanafunzi katika kujitambua ,Na Mwaka 2020 Shule ilinipa tuzo ya mwalimu mwenye mchango mkubwa katika hamasa Na uelimishaji rika kwa wanafunzi.
  • nimekuwa najihusisha na malezi kwa vijana, vijana wanashiriki kwa kujifunza, mahusiano chanya yamekuwa yanaibuka hasa tunapokuwa na mijadala mambo mtambuka. hivyo hali hii inaongeza ari na hamasa kwa vijana katika ushiriki wa shughuli za klabu na jamii
  • Toka nimekua mwanachama na mlezi wa FEMA club nimepata mafanikiao mengi Sana 1.Nimepata Elimu ya jinsia yaani uelimishaji Rika kwa ME na KE 2.Nimepata kujua Elimu ya Ujasiliamali 3 Nimepata kujua namna ya kutunza mazingira na kutumia fursa mbalimbali ndani ya mazingira yetu 4.Nimepata kujua namna ya kutatua changamoto mbalimbali za makundi Rika hasa mashuleni 5.Nimepata kujua Umuhimu wa kumsaidia mtoto wa kike na nafasi yake katika jamii
  • mimi huwa ni mshiriki sana wa shughuli za femina. ikiwa ni kushiriki katika mijadala mbalimbali mfano, Mradi wa nguvu ya binti ambao ulihusu mabinti wa kidato cha kwanza, kuwajengea UJASIRI na kujihamini, kujitambua ili waweze kujilinda dhidi ya vishawishi, ukatili wa kijinsia. pia nilishiriki katika mradi wa big sisters and young sisters, ambapo mradi ulihusu kuwatumia mabinti ambao ni wakubwa ,kuwafundisha wadogo zao, ambao walijengewa uwezo wa maarifa, ujasiri na kujiamini katika kuwasaidia mabinti wadogo. kupitia ushiriki wangu kupitia miradi hii, niliweza kujifunza ns kuendelea kuisaidia jamii yangu dhidi ya kupunguza ukatili wa kijinsia, kuongeza vipato vya familia, kujiamini na kuwa na uwezo mkubwa wa kufundisha wanafunzi kwenye masomo mengine ya kijamii mfano, somo la uraia, historia . mabadiliko yaliyotokea sehemu kubwa ni chanya. Hakuna ATHARI yoyote ilitokea.
  • ushiriki wangu katika shughuli za Femina zimenifanya niwe kiigizo chema kwa vijana wengi ninaowaongoza (wanafunzi) ambao wamekuwa wakivutiwa na utendaji kazi wangu, hivyo wengi kuaka kuwa kama mimi
  • Ushiriki wangu katika shughuli za Femina Ni kuhakikisha kuwa vijana walio kwenye club na nje ya club wanapata Elimu ya afya, ujasiriamali , kuwajibika, kujitambua na kudai Haki zao bila uoga. Pia kushirikiana na jamii katika masuala mbalimbali. Wengi waliitikia, Ndiyo Mambo mengi yalibadilika. Mabadiliko yalikuwa mazuri. Kitu kingine kilichotokea Ni baadhi ya wanaclub kuacha uanachama baada ya kubuni shamba la club. Jambo Hilo halikuwa na athari kwa yeyote isipo kuwa wao wenyewe maana wahakunufaika na mavuno ya mahindi yaliyopatikana kwenye shamba Hilo.
  • mimi nilishiriki kama volunteer kwakweli nilipata training nzuri sana ambayoo ilinifundisha mambo mengi mnoo ikiwemo afya ya uzazi , biashara na pia kwakutembelea shule mbali mbali. baada ya kushiriki kwenye hii volunteer kwanza kabisa nilipata elimu ambyo pengine sikuwa najua kwa undanii.Maisha yangu yamebadilika baada yakushiriki kwanza nimejua jinsi yakujitunza kiafya na pia nimeweza kuanzisha biashara
  • Nilishiriki katika kuhamasisha vija a kupinga ukatili wa kijinsia ikiwemo kulazimishwa kuacha shule na kuolewa! kulingana na jamii husika kuzoea jambo hili haikua rahisi ila wachache waliweza kuelewa, bado ujasiri kwa vijana haswa wakike ulikua chini na wengine waliweza kujisimamia! ilifika hatua nikaweza kuripoti baadhi ya matukio katika vyombo vya dola na hatimae kuweza kuokoa masomo ya baadhi ya mabinti!
  • Nimeshiriki shughuli kadhaa za femina na kubwa kabisa ni shughuli za fema club nilipokuwa sekondari,maadhimisho ya wiki ya vijana kitaifa mwaka 2018 ambayo nilishiriki katika uelimishaji na uhamasishaji jamii kwa kushirikiana na idara ya uhamasishaji jamii ya femina Hip na sasa hivi mimi ni mmoja wa vijana wanaojitolea kufanya kazi femina hip kwaka wa 2020-2021. Kupitia shughuli hizo nimefanikiwa kuongeza ujuzi wangu juu ya masuala kadha wa kadha yanayoigusa jamii ikiwemo vijana,ujinsia na ujasiriamali.Si hivyo tu,nimefanikiwa kutengeneza mtandao mkubwa wa watu wakiwemo wataalamu wa mambo mbalimbali na hata kuongeza marafiki pia. Katika kipindi chote hicho hakukuwa na kitu chochote ambacho kilitokea bila kutarajiwa.
  • In assisting students in different schools to understand about their life and their dreams and how to achieve. also for the Girls in different schools to understand themselves and know how to overcome different challenge in their studies
  • Nimeshiriki matamasha mbalimbali ya Femina ambayo yamenijengea uwezo mkubwa wa kuweza kujiamini, Nimeshiriki vikao mbalimbali vya FEMINA katika kumbukumbu zangu mwaka 2004/2005 Ndio mara ya kwanza kuijua Femina na baada ya kikao hicho nilipata vitu vingi AMBAVYO sikuwa naifahamu,nilifahamu mambo ya jinsi na jinsia ambayo swali sikuwa nayafahamu vizuri Mwaka 2009 nilishiriki katika kampeni ya kutokomeza FATAKI hapa pia nilipata mambo mengi sana na kutambua kuwa kumbe kuna FATAKINA ambaye ni mmama anayeweza kulea kijana mdogo na pengine akaishi naye kama mume Nimeshiriki shughuli mbalimbali za klabu shuleni kwangu, shughuli hizi ambazo nimekuwa nikishirikiana na wanafunzi wangu zimekuwa chachu kubwa sana katika suala zima la kujishughulisha na KAZI za hapa na pale na kuongeza kipato.Nimeshiriki kutoa Msaada KWA watu wasiojiweza,kusafisha maeneo machafu hususani hospitali Nimeshiriki KONGAMANO la vijana TAIFA.Katika Kongamano hili nilijifunza mambo mengi sana ambayo yameniimarisha kiakili na kuijenga klabu yangu upya, Na Sasa klabu yangu iko vizuri sana Nimeshiriki katika kutembelea shule mbili za wilayani mwangu na kuweza kuwaelezea Umuhimu wa FEMA KLABU shuleni kwao.Na waliniahidi kuweza KUFANYIA KAZI uwepo wa Klabu shuleni kwao
  • Ndio,ramadhan soloko kabwe sec rukwa 0758314435 Nmeshiriki katika kutoa elimu kwa vijana zinazohusu mazingira na afya kwa ujumla. Ndio Kuna vitu kadhaa vilibadilika. Hapana madiliko yote hayakuwa mazuri. Vitu ambavyo havikutarajiwa hasa ni pamoja na changamoto ya kutopewa ushirikiano na jamii hasa wazazi Ndio Jambo Hilo lilikuwa na adhari kwa vijana na kwa muelimishaji pia
  • ushiriki wangu katika femina umekuwa no was manufaa makubwa maana ndio sehemu pekee iliyo nijengea uwezo makubwa wakujianimi na kujieleza katika changamoto ama warsha yeyote na hii imekuwa ni nafasi nzuri kabisa ninayo itumia kuwasaidia vijana wenzangu kujikomboa kifikra na kiuchumi maana Kuna maswala ya ujasiriamali jivuo Basi vijana hupata kufunguliwa akili na kushiriki katika fursa mbakimbaki za kijasiriamali na kuwezesha Manisha yao ya kila siku
  • Nilishiriki kuhamasisha wanaclub kuchanigia damu salama. Kilichotokea vijana walihamasika kutoa damu kwa wingi. Kilichotokea kingine tulipata mgeni bila kutalajia ambaye ni afisa ustawi wa jamii alituongezea hamasa zaidi na kuwa shauri kuacha ngono Pia nilishiriki kufyatua tofari za kujengea sehemu ya kuchomea pedi za watoto wa kike. Sku ile vijana walifurahia sana na kufanya kazi kwa bidii na tulibahatika kufyatua tofari 900 kwa ile. Pia niliitisha kikao cha walezi wa wilaya ya mbogwe kama katibu wa waleza wilaya. Nashukru sana kuwa mlezi wa femina kwasababu nimepata mambo mengi ya kunijenga Mimi na familia nzima ya Nyakasaluma FEMA club
  • yes i participate ni various was 1. forming fema club in my school 2. reading jarida 3. writing various reports to inform femina hip what we did in the club in my participation nothing bad happened and unfortunately through Ruka juu now I'm a Business man and my lofe now is good
  • Onesford Haule from Litembo FEMA Club,I started to participate in Femina activities from 2018 when i was told by my headmistress to formulate a FEMA club in my school.From there i was a part and oarecel of Femina activities in my school by making mobilization of students to be well informed about different issues related to youth.As Femina slogan says,"PAZA SAUTI YAKO,SEMA NA FEMA",we started to raise up to our other students on what Femina do.They became aware and we started to participate fully in Femina activities not only to our school but also to other school.I have succeed to make my FEMA club to be one of the best club in my zone,i always teell my members not to give as they are they are expectable good people in their society.I still emphasize them on participating effectively in FEMA activities in school and in society in general. After participating effectively on Femina activities i came to realize my self that i have come to understand that i have to make my fellow youth in and out of the school to become aware that they can be what they want if they will focus on what they are doing.Young boys and girls are capable on contributing a society welfare.Not only that,but also my student started to move from one stage to another academically,socially, and (i) they became aware on all things that can hinder them on reaching there objectives.Now they can focus on what they want to be both socially and academically.All this changes was positive as i was able to compare before and after starting to participate in Femina activities. Being in Femina club have huge effectively to other people I mean friends,family and society members as they want to learn many thing from me and my club.This is because what i and my club do has directly contribution to other people especially on how to make youth to be a good people.
  • Ushiriki wangu Ni hai. Kwanza nilianza kushiriki Kama mwanaclub shuleni kwetu nikiwa kidato Cha tano mwaka 2017-2019.Sasa naendelea kushiriki Kama mafanyakazi wa kujitolea Femina. Nikiwa Kama mwanaklab nilishiriki kwenye shughuli mbalimbali za klab Kama kusaidia wazee na watoto waishio mazingira magumu,ujasiriamali ikiwemo kutengeneza na kuuza sabuni nk,kushea historia za MaishA na wanafunzi wengine kwenye mijadala mbalimbali, kufanya usafi hospital ya wilaya nk. Nikiwa Kama mfanyakazi wa kujitolea,nimeshiriki kwa kutembelea klab mbalimbali na kuangalia uendeshaji wao wa klab na kushirikishana na kushauriana njia mpya au tofauti na za mwabzo,kuamsha klab zilizolala na kuzifanya ziwe hai Tena. Baada ya kushiriki katika nafasi zote mbili matokeo yalikua chanya kote,nikiwa Kama mwanaklab na Kama mfanyakazi,mitazamo ya Jamii kwa wanafunzi ilibadilika na kueka mtazamo chanya kutokana na ushirikiano wetu na wao,mtazamo wa wanafunzi ulibadilika na kuwa Bora,shule ilipata sifa kupitia ushiriki wetu mzuri kwenye klab na shule.Kama mfanyakazi nilifanikiwa kushawishi klab zilizolala kuwa zinatakiwa kusimama na kujua mabadiliko mengi makubwa yanategemewa kutoka kwao,wanafunzi wakapata mtazamo mpya wa klab. Hakukua na athari yoyote iliyojitokeza.
  • kupunguza mimba shuleni mpaka kuisha kabisa. jamii kumtoa mtoto wa kike ndani ya boksi,kwa kumpa kipaumbele cha kusoma.pia jamii kuelimika kwa kujua wajibu na haki za msingi za msichana..Pia jamii kuona umuhimu wa afya ya uzazi na uzazi wa mpango..wasichana wengi wameelimika na elimu ya ujasiliamali na hivyo kujikamilishia baadhi ya mahitaji yao ya shule...Jamii kuitikia kwa kishindo na kumpumzisha mtoto wa kike na safari ndefu kwa kuchangia na kuanzisha hostelshuleni..
  • nimeanza kushiriki katika shughuli za femina toka mwaka 2015 nikiwa mwanafunzi kwa kusoma jarida la "si mchezo" lakini pia kufanya shughuli zingine za club ya fema kama utunzaji mazingira, kushiriki katika michezo na maigizo,matamasha na kubwa zaidi nilijifunza juu ya gonjwa la Ukimwi. Haya sasa bado nashiriki katika shughuli za femina kama mlezi kwa kulea vijana,kuwafundisha stadi za maisha lakini sana ninawajengea misingi ya wao kujitambua ili hatimaye wafanye vizuri katika masomo yao na hata kutimiza ndoto zao za baadae. Binafsi ushiriki wangu katika shughuli za femina toka nikiwa mwanafunzi umenijengea hari kubwa ya kujiamini na kufanya maamuzi yenye mtazamo chanya,,Vilevile imekuwa na mchango mkubwa sana katika kujitambua ,kujituma na kuwa mpenda maendeleo. Kubwa zaidi ni kwamba ushiriki wangu katika shughuli za femina ndio ulonifanya nifanye vizuri katika masomo darasani na hata Leo bado nimekuwa chachu kwa watumishi wenzangu pamoja na wanafunzi ninaowalea kutokana na manufaa hayo makubwa.
  • Soon after joining Femina hip as mentor at my school,many students were inspired to join the club and we initiated the project i.e garden -we were participating in different debate concerning the current issues that facing students in their studies -My students rised their skills in protecting the school environment by planting flowers -we involved in social services like blood donation at HEALTH CENTRE -we also did the tour in our neighbor schools to learn more skills in FEMA CLUB CHALLENGES -Time of students to meet and make discussion is not enough -poor support from school staff -we always struggle in difficult condition but we never give up Lastly many students are proudly to have knowledge of life skills from FEMINA HIP thanks by July Gibson mondo Mentor at NYACHILULUMA SECONDARY SCHOOL (NYACHILULUMA FEMA CLUB)
  • Nashiriki katika kuwasimamia Wana club katika kutimiza malengo yao ikiwa Ni pamoja na kushiriki katika mijadala na kusoma majarida yanayoletwa shuleni kwangu,pia kusimamia kuandaa matamasha ambayo yamekua yakileta hamasa kwa wale ambao sio wanachama kwa kauli mbiu mbalimbali,kufanya kazi mradi kutokana na elimu tunayoipata kupitia kuwa wanachama wa femina mfano tumeweza kutengeneza sabuni za maji ,Kama mafunzo ya ujasiriamali ,tumeandaa midahalo yenye kuibua hisia mbalimbali kwa wanachama mfano matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii,umuhimu wa kupanga budget ,madhara ya mimba za utotoni. Baada ya kushiriki kumetokea muamko mkibwa Sana kwa wanafunzi,ikiwemo kutambua vipaji mbalimbali walivyo navyo nakuviendeleza mfano fashion show,designers,story writing,mapambo,mapishi, ujasiriamali na mengine mengi. Mabadiliko yalikua mazuri Sana . Jambo Hilo yalikua na athari yoyote kwa mtu mwingine .
  • yah mimi ni mlezi wa club ya fema ushiriki wangu katika shughuli za fema zimenisaidia katika mambo kadha wa kadha 1. Ruka juu imefanya niwe mjasiriamali kwa kufungua duka Dar mtaa wa muhimbili mbezi 2. kuendeleza vipaji vya vijana kitu kilichopelekea kufungua channel ya YouTube 3. moyo wa kujitolea katika jamii ( sema tenda ) 4. kuwa mzalendo katika jamii 5. nimekuwa baloz wa kupinga ukatil wa kijinsia katika jamii kuanzia shuken hati mtaani 6. kuwasaidia vijana wenye uwezo
  • KIPINDI NAANZA KUSHILIKI FEMINA NIKIPND AMBACHO NILIKUA NI MUADHILIKA WA MIHADALATI LAKINI NILIVYOKUA NA HUZULIA NILIANZA KUPATA MABADILIKO NA KUANZA KUJITAMBUA LAKINI PIA ILINIPA WASAHA MZURI WA KUKITAMBUA KUJUA KAMA MIMI NAN NA NINI NATAKIWA KUFANYA
  • Ushiriki Wangu Femina umegawanyika katika Makundi Mawili. a) Mwanachama wa Club ya FEMA b) Mlezi wa Club ya FEMA./ Kiongozi wa Mtandao. - Nimeshiki katika Shughuli za FEMINa kwa kuwa Mlezi wa Vijana, kushiriki katika kuanda Makongamano ya Mitandao ya Club za FEMA, kuhamasisha uhai wa Club nyingine, kuhamasisha walezi kuwa Active, pia Nimeshiriki Femina Hip Youths Conference, ujengaji wa Uhai wa Club. ushiriki Wangu katika Shughuli za FEMA kuna Vitu Vingi vimebadilika. 1. kujitambua Mimi Kama kijana hasa kujua Mabadiliko ya Mwili ninayopitia. 2. kujua fursa za kiuchumi, kupitia Usomaji wa Majarida ambao umekuwa Msingi wa kuona Vijana wenzangu wanafanya Nini. 3. imakuwa Sehemu ya kutimiza Ndoto Yangu kwa Maana kupitia kazi za FEMA kuna stori za watu ambazo zimekuwa zikinitia Moyo kuelekea kutimiza Ndoto Yangu. 4. katika ushiriki wa kazi hizi Mabadiliko mengine ni kuona Vijana wanakuwa wazalendo, kwa kupenda kujitolea katika kazi za kujenga Uchumi. 5. Kuwa sehemu ya Kupinga Mila potofu katika Jamii zetu. - Mabadiliko yote kwangu ni Mazuri hasa yamekuwa na Mchango Chanya kwa Vijana pamoja Jamii husika. - kitu kilichotokea ambacho hakikutarajiwa, Kwanza ni Jamii kuhitaji nao kusambaziwa Majarida ya FEMa, Jamii kushiriki kwenye Matamasha ya FEMA Mashuleni Effectively. - Jamii kushiriki kutika Shughuli za kiuchumi za Club. mf. kilimo. Jambo lilikuwa na athari kwa Wanachama kuona hadi Jamii imekuwa sehemu ya Club Lakini pia Jamii yenyewe hasa katika upaji wa Elimu.
  • kuwa nashirik katika shughuli mbalimbali kama kusoma majarida na kujib maswali yake pia huwa nashirik katika shughuli za fema upande wa ujasiriamali kupitia bustani ya FEMA shuleni wetu,pia huwa napenda kuongea na wanafunzi wenzang kuwapatia ujuzi ninaopata kutoka FEMA.Pindi ninaposhiriki na wanafunzi wenzang kuwapatia ujuzi niliopata kutoka FEMA wengi wao huwa wanakuja kujiunga kwenye klabu,kitu kilichobadilika tulipata wanachama wengi wa FEMA ndio mabadiliko yote yalikuw mazur, kitu kilichowashangaza wengi ni wengi wa wanachama hakuna athari iliyotokea
  • ndio niliwahi kushiriki katika shughuli za femina katika klabu iliyapo shuleni kwangu , katika kipengele cha ujasiriamali, tumeweza kuanzisha bustani yetu kwa kulima mbogamboga na mentor wetu anatusaidia kutafuta wateja na kuwauzia na pato linatumika katika shughuli mbalimbali za klabu na hii imesaidia sana kutufanya kuwa wabunifu na kuanzisha biashara mbalimbali za kwetu wenyewe na kusaidia kujipatia fedha zinazotusaidia kujikimu wenyewe na kwa sasa nina uwezo wa kuwashauri watu aina ya biashara ninapoombwa ushauri na kusaidia kwa kiasi na nashukuru kwa kuwa watu wananishukuru lupita fema klub ya shuleni kwangu
  • nirishiriki katika kufungua klabu katika shule ya karibuni . tulifanya shughuli mbalimbali kama kuwaleza kuhusu shughuli za klabu .hapana .hapana.
  • Nimeshiriki kama mwanachama wa fema klab,shughuli nilizoshiriki ni matamasha, kuchangia damu, kushiriki semina za hedhi salama na kazi nyingine za kujitolea.Baada ya kushiriki kumekuwepo na mabadiliko hasa ya kujitambua na kutimiza wajibu wangu bila kulazimishwa na mtu lakini pia elimu ya hedhi salama imenisaidia sana mimi kama mtoto wa kike.Mabadiliko haya chanya yamenifanya niweze kujiamini zaidi na zaidi.
  • Nimeshiriki nikiwa shule na nimeshiriki kwenye shughuli za kijamii kufanya usafi wa mazingira, matamasha , michezo na kujitolea kuchangia damu
  • Nimeshiriki shughuli nyingi za femina kupitia fema klab, hasa matamasha,Midahalo, kuchangia damu nikiwa mwanachama wa fema klab.Katika hayo yote nimejengewa uwezo wa kuthubutu na pia kujitolea.
  • Nimeshiriki kwenye Hedhi salama na nguvu ya bint
  • Ndio shughuli za Femina zimenisaidia katika kuongeza ujuzi binafsi katika mambo mbalimbali Mfano imenisaidia kujua mbinu mbalimbali za kilimo kama kilimo cha matuta. Pia imenisaidia kuongeza marafiki wenye ujuzi mbalimbali na hivyo kusaidia kuongeza ufaulu katika masomo .Ndio kuna mwanafunzi alifaulu kwa sababu ya mwongozo wa mwalimu wa Fema na hivyo kupata kipaumbele shuleni .Hivyo ilipelekea wanafunzi wengi walijiunga na Fema.
  • Nimeshiriki kwenye matamasha, kupinga ukatili,Hedhi na mengine mengi tu kama kujitolea kuchangia damu na kufanya usafi wa mazingira kwenye vituo vya watoto.
  • Ndio,katika club ya fema nimeshiki katika shughuli mbalimbali kama kilimo pamoja utengenezaji wa bustani.nilijifunza kuwa na ushirikiano na mengine pia kujitegemea.Ni kweli mabadiliko niliyoyapa kwa ujumla yalikuwa mazur.Sikutarajia kama ningeweza kutengeneza bustani vizuri na inayovutia sana.Hapana halikuwa na athari kwa mtu yeyote
  • Ndio,katika club ya fema nimeshiki katika shughuli mbalimbali kama kilimo pamoja utengenezaji wa bustani.nilijifunza kuwa na ushirikiano na mengine pia kujitegemea.Ni kweli mabadiliko niliyoyapa kwa ujumla yalikuwa mazur.Sikutarajia kama ningeweza kutengeneza bustani vizuri na inayovutia sana.Hapana halikuwa na athari kwa mtu yeyote
  • ndio.Kutoa elimu ya magonjwa ya akili baada yakupitia jarida la FEMA kwa wanafunzi wa shule naima.nilijijengea ujasiri wa kusimamia na kuongea mbele za watu wengi wengi nakueleweka.Ndio kwani baada y a hapoel nilipat nafasi y a kwenye kwenye shule nyingine kwa ajili ya kuwaelimisha mambo y FEMA kwaujumla.Ndio nilifanikiwa kuwa kiongozi wa shule pamoja na kujua vipaji changu cha kuimba.Hapana halikuwa n athari yeyote kwa watu wengine
  • mm binafsi ninajishirikisha na shughuli za femina haswa Ktk kuhudhuria vipindi mbalimbali km usomaji na uchambuzi wa majarida na kufanya shughuli mbalimbali za bustani.za mbogamboga na maua ambazo ni miradi ya femina kutokana na kujishughulisha huko nimeweza kujifunza masuala mbalimbali ya afya na ujasiriamali ambapo nimeweza kutumia ujuzi wangu kupata pesa kama mjasiliamali kiukweli mabadiliko yalikua mazur kwani nimeweza kujiongezea kipato na kujikimu kwa mahitaji madogomadogo ambayo yanapunguza mzigo kwa wazazi kitu ambacho sikutarajia km kingetokea ni uhitaji wa watu kwa bidhaa zangu pamojana faida nilizokuwa nikipata kwan niliuza Mikate kipindi cha korona na hakuna Athari kwa mtu
  • 1. kujiamini 2. kujifunza ujasiriamali 3. kujitambua na kusaidiana
  • 1. ujasiriamali ( kufuma vitu mbalimbali) 2. kujitambua
  • 1. kupata elimu ya jinsia na kujua aina za ukatili wa kijinsia
  • 1. ujasiriamali 2. kujiamini 3.kujua namna ya kutunza mazingira 4. kujali wengina ( Empath ) 5. kusaidia watu wengine 6. kujitambua
  • 1. ujasiri 2. kuniinua kimasoma 3. kuwa kiongozi bora 4. jinsi ya kutunza mazingira ipasavyo 5. Elimu ya Afya Uzazi na ujasiriamali
  • mimi kama mshiriki wa club yangu ya FEMA nimeweza kushiriki kwa asilimia Mia moja ambapo nimeweza kushiriki katika mambo mbalimbali kama kulima bustani ambayo ndio mradi mkuu hapa shuleni,ambapo tunalima mbogamboga na kuziuza na kupata pesa ambazo zinaweza kutusaidia sisi kama washiriki.Pia mimi kama mshiriki wa femina nimeweza kushiriki katika semina mbalimbali zinazohusu club. pia nimeweza kushiriki katika mashindano ya jarida (CHALLENGS) kwa kujibu maswali kwa njia ya (PUZZLE) Kwa madiriko club yetu iliweza kujiendesha kupitia miradi hii lakini kutoka na janga la Corona pandemic hatukuweza kuziangalia mboga yetu na zikafa kuleta athari kwa wanaclub .
  • 1. kujiamini 2. ujasiriamali 3. Afya ya uzazi
  • shughuli za kilimo zimesaidia watu wengi pamoja na mimi kuwa wachapakazi ba pia kuwa na ushirikiano.
  • 1. Uzazi wa mpango na elimu ya jinsi 2. Ushirikiano baina ya wanafunzi wenzangu 3. ujasiri 4. uwezo wa kusaidia wenzangu 5. kujiamini 6. kukuza ufaulu wangu Darasani
  • 1. kujitambua 2. imeniaelimisha kuhusu afya ya uzazi
  • 1. kujiamini 2. kujitambua 3. Ruka juu ( ujasiriamali ) 4. kusaidiana na kushirikiana na wenzangu 5. kujiheshimu
  • 1. kujua mazingira kwa undani zaidi
  • nimeshiriki Katika shughuli mbalimbali za bustani.nilijua kulima ambapo awali sikujua kabisa, aidha kupitia vipindi mbalimbali vya fema club shuleni majadiliano kwenye majarida "ruka juu imenijengea uthubutu,cheza salama imefanya nijitambue zaid kama msichana na kupata zaid elimu juu ya afya ya uzazi pia kupitia sema tenda nimetambua umuhimu wa kuzungumza na uongozi bora.tangu nijiunge na fema club najivunia sana kwan kupitia kushiriki katika shughuli za club tukiongozwa na mlezi wetu nimeongeza ujuzi katika mambo mbalimbali ya kijamii na hata yanayonihusu mimi binafsi
  • Mimi ni mwanachama ambayo nimeweza kuhamasisha katika usafi wa mazingira shuleni na nje ya shule. Niliwahamasisha wenzangu kulima magugu na kuhakikisha tomato mifagio. Baada ya kushiriki wenzangu nao walihamasika kujiunga nami mara nilipokuwa nashiriki kusafisha. Mabadiliko yaliyotokea na maeneo kuwa safi. Hakuna
  • Kwenye shughuli za femina ni mwanachama wa FEMA FEMA klabu Shule ya sekondari ya Mwemage. Mara kwa mara nashiriki kuelimisha juu ya maswala ya Afya na uanzishaji wa klabu katika shule Shule mbalimbali. Tumeweza kuwaelimisha wanafunzi wenzetu kufahamu umuhimu wa usafi binafsi, tumeweza kutembelea Shule jirani kwa lengo la kuhamasisha uanzishwaji wa klabu na kutoa elimu juu ya mada za FEMA ambazo ni cheza salama, sema tenda na ruka juu. Mabadiliko yapo maana wenzetu shuleni na shule jirani wamejifunza na kupenda. Ndio mabadiliko ni nzuri. Ndio maana hata baadhi ya walimu walionekana kupenda na kuhitaji tuwe tunatoa elimu mara kwa mara. Hakuna
  • Ni mwanachama ninayeshiriki kwenye shughuli za kikundi kwa kuchambua jarida na kuwafahamisha wenzangu juu ya yaliyoandikwa kwenye jarida . Kila mara tunapopokea jarida nashirikiana na mwalimu mlezi na viongozi wetu kupanga ratiba na jambo gani la kujadiliana kisha tunapanga na jinsi ya kuwasilisha kwa shule nzima. Baada ya kushiriki shughuli hii kwanza mimi binafsi ninapata ujuzi na maarifa yaliyomo kwenye jarida husika pia inanijengea uwezo wa kusimama mbele za watu kujieleza na kufafanua mambo mbalimbali. Mabadiliko yapo hasa hali ya kusimama mbele za watu na kujiamini zaidi na kupata ujuzi. Kitu ambacho hakikutarajiwa kilichotokea ni kuaminiwa wa kupatiwa uongozi hapa shuleni. kwa habari ya athari kwa mtu mwingine hapana sidhani kama zipo.
  • Mwanachama wa fema klabu shuleni kujadili jarida na mada mbalimbali zinazojitokeza kulingana na ratiba, kwenda kufanya usafi kwenye taasisi, kutembelea shule jirani kufanya sherehe za kuagana mfano mwaka jana. mabadiliko yapo japo sio sana. Kitu ambacho hakikutarajiwa na kilijitokeza ni kwamba tulinyang'anywa eneo la kufanyia mradi wa bustani bila kujua sababu yake na hata chumba cha darasa tulichoandaa kwa shughuli mbalimbali za wasichana kimegeuzwa stoo. Nahisi athari zipo kwani kuna wakati tunaonekana kama tunaingilia uhuru wa baadhi ya walimu katika ukiukaji wa haki za wanafunzi wenzetu. Tunapotoa taarifa kwa walimu wa kike na wakati mwingine mwalimu wetu mlezi na taarifa zikafika ofisi ya mkuu wa shule.
  • mwanachama wa fema klabu. Nashiriki shughuli zote za klabu mabadiliko yapo makubwa tu hakuna hakuna
  • my name is Lilian I was participated in femina activities as a chair person at mnyuzi secondary school and a video chair person at maswa girls high school what I did during that time we had atime to meet as members of fema clubs reading fema magazines and participating in discussion about what is in the magazines, I can give an example from that magazine with topic of Gender violence, at maswa girls there in simiyu region we used that topic to as a key concept to educate that maswa community which was been dominated by gender violence especially to women , we went to some of the schools hinduki primary we had prepared some picture camly we have talked with three groups men, women's and children, I saw the power of educating the community through FEMA club since people started to express gender violence circumstances which they face in their daily life , we succeed to give some advice and there is some spirit of changes happened there Another participation is when I was been inO-level before I was not FEMA club member I was being afraid of facing group of people and give up my opinions in any discussion, I had no even my own decision in some circumstances which needs my decision that was because I felt that I am a woman and I have no power before majority I didn't believe my opinions ideas or anything else before others but once I tried to involve in FEMA discussion I come to realize that I have an ability to create , to formulate ideas and to lead group of people as a leader and makes me to contest be a head girl and it was succeed, of course FEMA club activities has Granted positive changes to those community I was living since at mnyuzi I come to realize it's not only me I had that problem of being feared of my self in front of people so we had a seminar obout gender empowerment and it gives positive changes also the community benefited in conserving environment since there is some magazines of FEMA which give education obout making the city green , as a FEMA mebers as youth we use that chance to educate the community and planting trees in public offices so it gives those benefit
  • Nimeshiriki kuelimisha jamii juu ya hedhi salama. Nimeshiriki kupata mafunzo kisha nami nikaanza kuelimisha wanafunzi na jamii juu ya matumizi sahihi ya pedi kuwaelimisha umuhimu wa jinsi zote kufahamu Habari za hedhi na kuwa tayari kuwasaidia dada zetu wanapokuwa hedhi
  • Nimeshiriki nikiwa mwanachama wa FEMA club. Tulipanda mitigate ya matundu mbalimbali nikiwa ni papai na parachichi. Papai nyingi zilikauka kipindi cha ukame wakati tulisa Lanza kuvuna. Parachichi alikuja mtaalam na kupandikiza mbegu mpya kwenye zile tulizozoea za vasili. Upandaji miti shuleni kumependezesha mazinrgira. Hakuna Athari Yoyote iliyojitokeza kwa mtu yeyote
  • Nimeshiriki katika kuelimisha juu ya hedhi salama baada ya kufundishwa na wenzetu ambao walihudhuria mafunzo. Nimeshiriki na kutengeneza pedi za kufua. Mabadiliko yaliyopatikana ni makubwa na mazuri kwani kupitia mafunzo na ushiriki niliweza kuelewa matumizi sahihi ya pedi pamoja na kupata ujuzi wa kutengeneza pedi ambazo ninatumia mimi pamoja na wenzangu tuliopata nao mafunzo. Wale ambao hawakupata mafunzo wananunua na kipato kinapatikana. Mabadiliko ambayo hayakutarajiwa ni pamoja na kwanza kutengeneza pedi kwa ajili ya kuuza. Athari kwa mtu mwingine hakuna.
  • Nimeshiriki kupitia klabu yetu shuleni kujenga chumba maalum kwa ajili ya matumizi ya wasichana ambapo baada ya ujenzi kwa kuwa kilikuwa chumba cha darasa sasa kinatumika kama stoo. Hata hivyo wadau wa elimu na jamii ndani ya kata walipojenga choo wametutengea vyumba viwili kwa ajili ya matumizi. Nimeshiriki kutoa elimu juu ya hedhi salama. Nimeshiriki kwa kusafisha mazingira ndani ya eneo la shule na kituo cha afya kinachotuzunguka na zahanati ya kata yetu. Nimeshiriki kuelimisha juu ya uanzishaji wa klabu za FEMA shule jirani.
  • Nimeshiriki katika Tamasha la FEMA mkoa Kagera na niliimba shairi juu ya shughuli za fema na shuleni wakati wa mahafari ya shule mimi na wenzangu tulipatiwa nafasi kuelimisha juu ya shughuli za FEMA katika jamii. Na kuhamasisha wazazi, walezi na jamii kwa ujumla juu ya umuhimu wa kuwaruhusu wanafunzi kushiriki shughuli za FEMA.
  • Nimeshiriki kwenye klabu shuleni kukusanya mchango ya kwenda kwenye tamasha na kuleta mbegu za mboga kwa ajili ya kuotesha ili kuwa na Mradi wa klabu. Hata kabla ya kuvuna eneo lilichukuliwa na uongozi wa shule hivyo kuathirika kwa wale waliokuwa wamejitolea ba mimi nikiwemo.
  • Ushiriki wangu katika shuguli za Fema ulianza mwaka 2018 . Nilivutiwa tu na simulizi mbalimbali za na shuhuda za vijana kwenye majarida ya Fema. baada ya hapo nilifanikiwa kushiriki mafunzo yaliyofanyika ukumbi wa Chuo kikuu huria na nikavutiwa zaidi na nilichokipata pale na nikavutiwa kufanya kitu Cha tofauti zaidi. Mafunzo hayo yalihusiana na Active learning. Baadaye niliporudi shuleni nikaamua kutundisha kwa kutumia aina hiyo ya "active learning" nikapata matokeo chanya kwa sababu ushiriki wa wanafunzi darasani ukawa mkubwa na wanafunzi walifurahia somo hivyo idadi ya wanaojiunga na club ikaongezeka. Mabadiriko yaliyojitokeza ni kwamba wanafunzi walikuwa ni wenye kupenda kuhudhulia kipindi na kujifunza kwa furaha. Mabadiriko haya yalikuwa mazuri kwani mtazamo wa wanafunzi juu ya kujifunza ulibadirika kwani walijua wakijifunza kwa kushiriki zaidi somo linakuwa zuri na kinaeleweka zaidi.
  • I educate large number of teenagers starting with my school and my community at large

Where did you participate in the activity?

How much is the time, effort &/or money that you spent on this activity worth?

Please estimate how much change you experienced as a result of your participation in Femina activities?

Please reflect on your story, how important was your participation in Femina to you?

In your best judgement, how many years will the change you experienced last?

How important is the change in your story to you and your life?

How important is this change to your community?

How much of the change that you experienced due to Femina?

Would you have experienced the change without Femina?

To what extent do you think that the benefits you received from your participation were at the expense of other people?

How would you classify yourself?

What is your age?

What is your gender?

Do you consent to us sending you feedback, surveys & storing your responses?